Tarehe 17 mwezi wa 10, 2011 shughuli ya kijamii katika eneo la Kisanga

imprimer envoyer a un ami
Partager, Share, Compartir
Mwaka huu tunasheherekea siku ya kutokomeza umaskini uliokithiri si tu kwa kupitia kusanyiko hili dogo la watu kwa shuhuda, mashairi, ngonjera, n.k. Pia tunaadhimisha kwa vitendo kwa kuungana na jamii katika shughuli ya kijamii ambayo kati yenu tayari mmeshashiriki jana na leo…
photo

Wherever men and women are condemned to live in extreme poverty, human rights are violated.
To come together to ensure that these rights be respected is our solemn duty.

Joseph Wresinski

logo facebook