Jarida la Februari 2009

Katika jarida hili, tutawapatia taarifa kuhusu mradi tulioanzaisha wiki chache zilizopita, inayohusu ugumu wa kupata elimu ya msingi kwa baadhi ya familia.
Hatahivyo unajua kwamba huwa tunaanza jarida letu kwa ushuhuda wa raia wetu anayejitoa kupambana na umaskilni. Leo Lusekelo Nelson Mwandemange ambaye ni mwanafunzi wa Dar es Salaam ametufafanulia jinsi gani yeye na rafiki zake alivyokataa kwamba baadhi ya wanafunzi wanalazimika kuaacha masomo yao kwasababu ya ukosefu wa ela.






