Jarida la Novemba 2010

imprimer envoyer a un ami
Partager, Share, Compartir
Kama ujuavyo kwamba tuko katika mwaka wa kimataifa wa vijana, tungependa kukutaarifu kuhusu moja ya matukio yaliyo andaliwa na ATD hapa Afrika ili kuadhimisha mwaka huu, kutafanyika mkusanyiko unaowahusisha vijana wanaopambana na umaskini uliokithiri utakaofanyika huko Bangui (Jamhuri ya Afrika ya kati) mwanzoni mwa mwezi Januari mwaka 2011 na baadhi ya vijana kutoka Dar es Salaam watashiriki…
photo

Wherever men and women are condemned to live in extreme poverty, human rights are violated.
To come together to ensure that these rights be respected is our solemn duty.

Joseph Wresinski

logo facebook