Jarida la Desemba 2009

Ndani ya kijarida hiki, tutaongelea kuhusu matatizo, yanayozikuta baadhi ya familia zilizo masikini sana, katika uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa.
Hata hivyo, tutaanza na ujumbe uliotolewa na watoto waliokusanyika kwenye mkutano wa Dunia wa watoto, uliotayarishwa na ATD Dunia ya Nne huko Ouagadougou, mnamo tarehe 20 ya Novemba 2009, kwa ajili ya kuadhimisha miaka 20 tangu kupitishwa kwa azimio la Kimataifa la haki za watoto duniani.






