Jarida la Desemba 2009

imprimer envoyer a un ami
Partager, Share, Compartir

Ndani ya kijarida hiki, tutaongelea kuhusu matatizo, yanayozikuta baadhi ya familia zilizo masikini sana, katika uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa.

Hata hivyo, tutaanza na ujumbe uliotolewa na watoto waliokusanyika kwenye mkutano wa Dunia wa watoto, uliotayarishwa na ATD Dunia ya Nne huko Ouagadougou, mnamo tarehe 20 ya Novemba 2009, kwa ajili ya kuadhimisha miaka 20 tangu kupitishwa kwa azimio la Kimataifa la haki za watoto duniani.

documents

Jarida la Desemba 2009

PDF - 195.5 ko
photo

Wherever men and women are condemned to live in extreme poverty, human rights are violated.
To come together to ensure that these rights be respected is our solemn duty.

Joseph Wresinski

logo facebook