Jarida la Desemba 2008

imprimer envoyer a un ami
Partager, Share, Compartir
Wiki iliyopita kulikuwa na maadhimisho ya miaka 60 ya kutangaza rasmi na kwa wote haki za binadamu. Ilikuwa ni tukio muhimu duniani kote na pia kwetu sisi, kwa sababu umaskini uliozidi kiasi ni moja ya vikwazo vya kutokuheshimu haki za binadamu. Maadhimisho haya yalikuwa fursa kwa Mwendo wa Kimataifa ATD Dunia ya Nne kutangaza vipaumbele vyake vitano kwa miaka mine ijayo: utavikuta ndani ya sehemu ya pili ya jarida hili.

documents

Jarida la Desemba 2008

PDF - 144.5 ko
photo

Wherever men and women are condemned to live in extreme poverty, human rights are violated.
To come together to ensure that these rights be respected is our solemn duty.

Joseph Wresinski

logo facebook