Other languages…

Kama watu wazima tunajifunza pamoja
Kitu cha kwanza kupambana nacho ni kutokujua kusoma na kuandika kwa watu wazima. Kama inawezekana hapo baadaye, watoto wote wapate elimu bora kabisa ya msingi, wajue kusoma na kuandika na kwa njia hii kisomo cha watu wazima kitasahaulika. Mpaka kufikia hatua hiyo, ni juhudi gani Watanzania wanazifanya ili kutokomeza kisomo cha watu wazima ?Fahombiazan’ny seminera tamin’ny Tombanezaka mikasika ny tanjon’ny Taona arivo fahatelo hoan’ny Fampandrosoana (OMD)tao amin’ny banky iraisam-pirenena
Fanambarana an-gazety tamin’ny 15 febroary 2013-04-03
Io seminera io dia natao ny 14 sy 15 febroary tao amin’ny tranon’n y Banky Iraisam-pirenena teto Antananarivo. Nanodidina ny enimpolo ny tonga nandray anjara tamin’izany. Tao aloha ny solontenan’ny fianakaviana ao anatin’ny fahantrana lalina izay efa nanoman-tena tamin’ny alalan’ny fihaonana isam-bolana sy ny andro roa nanaovana seminera savaranonando.Tao koa ny solontenan’ny ONG mirotsaka amin’ny ady amin’ny fahantrana. Ary farany dia tao ireo solontenam-panjakana avy amin’ny sampan-draharaha samihafa : Ministeran’ny mponina, ny an’ny Fanabeazana sy ny Fiofanana araka Asa, ny an’ny Tanora sy ny Fialam-boly, ny an’ny Fampianarana teknika. Voasolo tena tao koa ny UNICE, PNUD, AFD, ny Masoivoho frantsay, ny Banky Iraisam-pirenenaTushirikiane kwa pamoja kama washiriki walio sawa
Kutokana na mradi ulioanzishwa Mei 2010, ATD Dunia ya Nne imekuwa ikisaidia familia zinazoishi katika umaskini uliokithiri kupata haki zao za msingi. Lengo la mradi huu ni kuonyesha kwamba umaskini uliokithiri unaweza kukabiliwa kwa ufanisi iwapo kutakuwa na ushirikiano kati ya watu waishio katika umaskini uliokithiri na wale ambao nyadhifa zao zinawapa mamlaka ya kuwa na uamuzi juu ya mahitaji ya watu ambao ni maskini kabisa (katika kuwaandikisha watoto shuleni, kutoa nakala za maombi (…)Other files
简体中文
第四世界非政府组织










