Kiswahili

Jarida la Juni 2010
Katika kijarida hiki, tungependa kuangalia suala la uhusika binafsi katika kujitolea :Kwanini ni muhimu ? Kwanini ni vigumu ?
Kwa hali hiyo, tutaanza kushiriki pamoja nawe ushuhuda kuhusu mshikamano, ushuhuda ambao ulitolewa na Jules, rafiki (…)
Jarida la Abril 2010
Katika kijarida hiki, tumependelea kuakisi maswali yafuatayo. Ni nini umasikini uliokithiri? Kwanini tunatofautisha kati ya umaskini na umasikini uliokithiri?Kwa hiyo, kama kawaida tutaanza na shuhuda, leo tunamwachia Samueli.
Samueli alikuwa na umri wa miaka 15 mnamo mwaka 1998 ambapo alianza kuishi katika mitaa ya Dar es Salaam…
Jarida la Februari 2010
Kwa mara nyingine tena, wiki 5 zilizopita Haiti ilikuwa ikiboreka katika kuelekea mafanikio ya baadaye kwa watu wake. Tunawajua watu wa Haiti na wanatakiwa kuwa ni mfano wa kuigwa na dunia. Ushujaa, busara na umoja wao ni imara kuliko matatizo na majanga yanayo ikumba na kuathiri nchi yao.Jarida la Desemba 2009
Ndani ya kijarida hiki, tutaongelea kuhusu matatizo, yanayozikuta baadhi ya familia zilizo masikini sana, katika uandikishaji wa vyeti vya kuzaliwa.
Hata hivyo, tutaanza na ujumbe uliotolewa na watoto waliokusanyika kwenye mkutano wa Dunia wa watoto, uliotayarishwa na ATD Dunia ya Nne huko Ouagadougou, mnamo tarehe 20 ya Novemba 2009, kwa ajili ya kuadhimisha miaka 20 tangu kupitishwa kwa azimio la Kimataifa la haki za watoto duniani.








