Kiswahili

Kama watu wazima tunajifunza pamoja
Kitu cha kwanza kupambana nacho ni kutokujua kusoma na kuandika kwa watu wazima. Kama inawezekana hapo baadaye, watoto wote wapate elimu bora kabisa ya msingi, wajue kusoma na kuandika na kwa njia hii kisomo cha watu wazima kitasahaulika. Mpaka kufikia hatua hiyo, ni juhudi gani Watanzania wanazifanya ili kutokomeza kisomo cha watu wazima ?Tushirikiane kwa pamoja kama washiriki walio sawa
Kutokana na mradi ulioanzishwa Mei 2010, ATD Dunia ya Nne imekuwa ikisaidia familia zinazoishi katika umaskini uliokithiri kupata haki zao za msingi. Lengo la mradi huu ni kuonyesha kwamba umaskini uliokithiri unaweza kukabiliwa kwa ufanisi iwapo kutakuwa na ushirikiano kati ya watu waishio katika umaskini uliokithiri na wale ambao nyadhifa zao zinawapa mamlaka ya kuwa na uamuzi juu ya mahitaji ya watu ambao ni maskini kabisa (katika kuwaandikisha watoto shuleni, kutoa nakala za maombi (…)Ripoti ya mwaka 2011
Sehemu ya kwanza ya ripoti hii - Kutokana na vipaumbele vinne - inaelezea vipaumbele hivi, ikiainisha shughuli na miradi iliyofanyika mwaka 2011 ili kusonga mbele katika shughuli zetu.Sehemu ya pili ya ripoti hii - Kutokana na Matukio Manne - inaelezea matukio manne muhimu yaliyowezesha watu kuelezea majukumu yao na dhamira zao. Sehemu ya mwisho inaelezea - Matarajio ya mwaka 2012.








